METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, June 15, 2015

MASHINDANO YA LUPALA CUP MSHINDI WA KWANZA KUZOA NG’OMBE NA JEZI.




Mashindano hayo yaliyoanzishwa na Diwani wa kata hiyo Denis Pius Lupala amesema zawadi ambazo zinatolewa zimelenga kila timu shiriki kupata zawadi ya mpira mmoja mmoja na kwa timu mshindi  wa kwanza atapata Ng’ombe,jenzi na mpira kwa mshindi wa pili akipata mbuzi, jenzi na mpia pamoja na mshindi wa tatu akipata jenzi na mpira.

Mashindano hayo yameanza hapo jana kwa ufunguzi wa mchezo wa timu ya kijiji cha Mgama na Ibumila ambapo timu ya Mgama imeibugiza  Ibumila mabao 2 kwa 1 huku mchezo huo ukitawaliwa na ubabe wa msosi na ufundi mwingi kutoka katika timu zote mbili.
Na hii leo kutakuwa na mechi mbili katika vijiji tofauti Ihemi Itakuwa na  Ilandutwa Mechi ya pili Itwaga na Lwato.
Muuandaaji wa mashindano hayo Denis Lupala amewaasa wachezaji kutumia fulsa hiyo ambayo itapelekea kupata timu ya kata na kuimalisha miili ya kwa kuondokana na magonjwa nyemelezi huku akiahidi kuongeza mashindano mengine ambayo yatawajenga kiushindani zaidi ilikuongeza radha ya mashindano hayo, ametoa siku ya 24 ambapo mwenge utalala katika kijiji hicho kutakuwa na mechi katika timu 6 na kumpata mshindi ambaye yeye atanyakua Mbuzi,jenzi,na mipia 2 huku mshindi wa pili akipata jenzi na mpia na mshindi wa Tatu mpia tuu.
Atiba ya mashindano hayo mpaka mzunguko wa kwanza kuisha ni hii hapa.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com