METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, September 19, 2022

KATIBU MKUU AKUTANA NA KIONGOZI WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA VIET NAM

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mahusiano ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Ndugu Truong Quang Hoai Nam (kushoto) pamoja na Wajumbe kutoka vyama vyote viwili katika kikao kilichofanyika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimpatia zawadi ya kinyago chenye maana ya umoja Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mahusiano ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Ndugu Truong Quang Hoai Nam (kushoto) mara baada ya kumaliza kikao kilichofanyika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.

 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mahusiano ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha Vietnam Ndugu Truong Quang Hoai Nam (kushoto) mara baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com