METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, August 23, 2022

WAZIRI WA TAMISEMI INNOCENT BASHUNGWA AHESABIWA



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi Spencia Rutalemwa wakati akihesabiwa nyumbani kwake kijiji cha Ahakishaka, Kata ya Nyabiyonza, wilaya ya Karagwe, Mkoani Kagera. Leo tarehe 23 Agosti 2022.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com