METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, July 31, 2020

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA SWALA YA EID EL-ADHA KIMKOA LINDI


Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete aongoza mamia ya waumini wa dini ya kiislam katika swala ya eid El-Adha Kimkoa iliyoswaliwa leo katika uwanja wa Ilulu Lindi mjini. Dkt Kikwete ameongozana na mke wake Mama Salma Kikwete.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com