METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, March 5, 2020

TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KAMISHENI YA 63 YA DAWA ZA KULEVYA YA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LINALOSHUGHULIKIA DAWA ZA KULEVYA NA JINAI (UNODC) JIJINI VIENNA, AUSTRIA



Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw. james Kaji akiwasilisha hotuba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika Vienna, Austria, imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika Mapambano Dhidi ya Matumizi ya Dawa za Kulevya.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com