Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakiwa kwenye picha ya pamoja mbele ya handaki linaloaza kuchorongwa ikiwa ni moja ya maeneo waliyopitishwa na wataalamu ikiwa ni sehemu ya ziara yao inayoendelea katika mradi wa SGR kutoka Dodoma-Dar
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakiendelea na Ziara
Kazi ya uchimbaji wa njia ya chini ya kupitisha Reli ikiwa inaendelea
Kazi ya uchorongaji wa handaki ikiwa inaendelea katika eneo la Kilosa-Morogoro
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakishuhudia uchongaji wa barabara ya chini
ambapo Reli ya Kisasa (SGR) inapita.
Muonekano wa Reli na Mataruma ya kisasa yaliyotengenezwa kwa saruji tofauti na reli ya
zamani ambayo ni chuma
Kazi ya uwekaji wa Mataruma ya Reli ikiendelea
Tuesday, March 3, 2020
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
*AWASIHI WANASIASA KUJIKITA KATIKA SIASA SAFI NA UONGOZI BORA *WASITUMIE UONGO NA SHIDA ZA WATU KUSAKA UMAARUFU WA KISIASA ...
-
Waziri wa kilimo Mhe Japhet Ngailonga Hasunga (Mb) Naibu Waziri wa Wizara ya kilimo Mhe Innocent Lugha Bashungwa Na Mathias C...
Powered by Blogger.








0 comments:
Post a Comment