Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakiwa kwenye picha ya pamoja mbele ya handaki linaloaza kuchorongwa ikiwa ni moja ya maeneo waliyopitishwa na wataalamu ikiwa ni sehemu ya ziara yao inayoendelea katika mradi wa SGR kutoka Dodoma-Dar
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakiendelea na Ziara
Kazi ya uchimbaji wa njia ya chini ya kupitisha Reli ikiwa inaendelea
Kazi ya uchorongaji wa handaki ikiwa inaendelea katika eneo la Kilosa-Morogoro
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wakishuhudia uchongaji wa barabara ya chini
ambapo Reli ya Kisasa (SGR) inapita.
Muonekano wa Reli na Mataruma ya kisasa yaliyotengenezwa kwa saruji tofauti na reli ya
zamani ambayo ni chuma
Kazi ya uwekaji wa Mataruma ya Reli ikiendelea
Tuesday, March 3, 2020
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na. Antonia Mbwambo, Arusha. Watumishi wa Umma nchini wamehakikishiwa kuboreshewa mazingira ya kazi kadri uchumi utakavyoruhusu ili kuleta ...
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Na THEOFLIDA WA YESU Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote. Wiki ...
-
Mmoja wa Viongozi wa kikundi cha Hamasa cha Timu ya Tanzania Prison Stephen Rheda (aliyesimama) akitoa nasaha za mwisho kwa washabiki wenzie...
Powered by Blogger.








0 comments:
Post a Comment