METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, March 5, 2020

MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI LA SHAMBA LA UFUTA LA HAYA WILAYANI KOROGWE



 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa shamba la ufuta la Kampuni ya Haya Modern Agriculture Limited lililopo Mkoamzi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. Kushoto ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba  na wa tatu kushoto ni Mkurugenzi wa  shamba hilo, Mohamad Zioud. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua  mtambo wa kaupanda mazao wakati alipotembelea  shamba la ufuta la Kampuni ya Haya Modern  Agriculture Limited lililopo eneo la mkoamazi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela na wa tatu kushoto ni Mkurugeni wa shamba hilo, Mohamad Zioud. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama shamba lililoandaliwa kwa ajili ya kilimo cha  ufuta wakati alipotembelea shamba la kampuni ya  Haya Modern Agriculture Limited la Mkoamazi wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye shamba la ufuta la Haya Modern Agriculture la Mkomazi wilayani Korogwe kweka jiwe la msingi la mradi huo, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com