Nyota mdogo, Ansu Fati akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika ya 30 na 31 mara zote akimalizia pasi za Lionel Messi timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Levante, ambayo bao lake lilifungwa na Ruben Rochina usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Fati aliyezaliwa Guinea-Bissau Oktoba 31, 2002 ambaye sasa ana uraia wa Hispania, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi (miaka 17) kufunga mabao mawili katika mechi moja ya La Liga kihistoria PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Sunday, February 2, 2020
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa amepiga mpira wakati wa Mashindano ya Gofu ya Mabunge ya Afrika Mashariki 2021, yan...
-
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana akisisitiza jambo wakati wa kikao na wakati na Katibu Mkuu Wizara ...
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Ibada ya kuaga mwili wa marehemu Midlaster Daniel Nsanz...
Powered by Blogger.

0 comments:
Post a Comment