METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, November 20, 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MSAMVU MKOANI MOROGORO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiandika kero mbalimbali walizokuwa wakizitoa wananchi waliosimama pembezoni mwa Stendi ya Mabasi ya Msamvu mkoani Morogoro .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachi wa Msamvu mkoani Morogoro mara baada ya kusimama.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpigia simu Mkurugenzi Mkuu wa NIDA mara baada ya kupokea kero ya ucheleweshwaji wa vitambulisho vya Taifa katika eneo la Msamvu mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mmoja wa wafanya usafi wa Stendi ya Mabasi Msavu aliposimama na kuzungumza na wananchi waliosimama pembezoni mwa Stendi ya Mabasi ya Msamvu mkoani Morogoro
Sehemu ya Wananchi wa Msamvu mkoani Morogoro waliokuwa wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara aliposimama katika eneo hilo.
PICHA NA IKULU
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com