![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/1-78.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi
Likangala kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi leo
tarehe 15/11/2019.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/2-65.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi
wa Ruangwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi
Likangala kwa ajili ya kuhutubia wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi leo
tarehe 15/11/2019.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/5-33.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/6-18.jpg)
Wananchi wa Ruangwa wakishangilia
mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli kuwasili Wilayani humo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/7-16.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/9-8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2019/10/10-7.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa
Ruangwa mara baada ya kuwasili Wilayani humo wakati akitokea Lindi
mjini.
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment