METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, September 28, 2019

MAJALIWA AZINDUA URASIMISHAJI WA LUGHA YA ALAMA TANZANIA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua   Urasimishaji wa Lugha za Alama Tanzania katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Viziwi Duniani kwenye uwanja wa Kichangani, Kihesa mjini Iringa, Septemba  28, 2018. Kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Stella Ikupa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha nakala za andiko la    Urasimishaji wa Lugha za Alama Tanzania aliouzindua katika Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Viziwi Duniani kwenye uwanja wa Kichangani, Kihesa mjini Iringa, Septemba  28, 2018. Kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Stella Ikupa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Baadhi ya washiriki wa Maadhimisho ya  Kilele cha Wiki ya Viziwi Duniani wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowahutubia kwenye uwanja wa Kichangani, Kihesa mjini Iringa, Septemba 28, 2019. (Picha na OIfisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia washiriki wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Viziwi Duniani kabla ya kuhutubia kwenye uwanja wa Kichangani, Kihesa mjini Iringa Septemba  28, 2019. Kulia ni Mkalimani wa Lugha ya Alama, Jonathan Livingstone. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com