
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ali Happy wakati alipowasili
kwenye uwanja wa ndege wa Iringa kuanza ziara ya kikazi mkoani humo,
Septemba 24, 2019. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Iringa, Dkt
Abel Nyamahanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment