METDO Tanzania

METDO Tanzania

Friday, September 27, 2019

MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI CHA ILULA WILAYANI KILOLO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi cha Ilula akiwa katika ziara ya wilaya ya Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinoloji, Dkt. Avemaria Semakafu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com