Mkurugenzi wa taasisi ya Tulia Trust Dr. Tulia Ackson akishirikiana na Shirika la Wheel Chair Foundition ametembelea Familia tano za watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali mkoani Mbeya na kuwapatia msaada wa baiskeli za kutembelea kwa lengo la kuwasaidia watoto hao wapate elimu kutokana na wengi wao kushindwa kwenda Shuleni kufuatia kuwa na changamoto ya kushindwa kutembea wenyewe hadi kufika shuleni.
Friday, August 23, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
Afisa elimu wa mkoa wa Dar es salaam akizungumza na washiriki wa mkutano uliowakutanisha wamiliki wa shule binafsi ...
-
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Rosemary Senyamule,akizungumza na washiriki wa maonyesho (hawapo pichani) mara baada ya kutembelea na kukagua Ma...
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imesema vikwazo vilivyoibuka katika mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa klabu ya Simba hu...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment