
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa
akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Kuhusu
Maonesho ya 43 ya Biashara (sabasaba) ambayo yalianza Juni 28, 2019 na
yatazinduliwa Rasmi Hapo Kesho na Makamu wa Rais wa Tanzania, Suluhu
Hassan, huku kauli mbiu ikiwa ni “ Usindikaji wa mazoa ya kilimo kwa
maendeleo endelevu ya Viwanda”.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Innocent Bashungwa, Akiwa
kwenye viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam, Tayari kwa kuanza
kutembelea mabanda yaliyoko kwenye maonesho ya 43 ya
biashara(sabasaba), Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo
ya Biashara Tanzania (TanTrade), Bwana Edwin Rutegaruka




Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Innocent Bashungwa, akisikiliza maelezo kutoka kwa Maneja Msaidizi, Idara ya Uhusiano na Itifaki kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Vicky Msina, kuhusu historia ya Sarafu ya Tanzania, mara baada ya kutembelea katika Banda hilo, kwenye maonesho ya 43 ya biashara(sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya sabasaba Jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Bwana Edwin Rutegaruka.


Afisa Habari kutoka kituo cha Uwekezaji, Latifa Kigoda, akielezea
huduma ambazo Taasisi hiyo inazitoa kwa wawekezaji katika
Maonesho ya 43 ya Biashara (sabasaba) ambayo yalianza Juni 28, 2019 na
yatazinduliwa
Rasmi Hapo Kesho na Makamu wa Rais wa Tanzania, Suluhu Hassan, huku
kauli mbiu yake ikiwa “ Usindikaji wa Mazoa ya Kilimo kwa Maendeleo
Endelevu ya Viwanda”.

Moja ya Bidhaa kutoka katika kampuni ya kuunganisha Matrecta ya
URSUS kama linavyonekana kwenye picha katika maenesho ya 43 ya
Biashara (sabasaba) ambayo yalianza Juni 28, 2019 na yatazinduliwa
Rasmi Hapo Kesho na Makamu wa Rais wa Tanzania, Suluhu Hassan, huku
kauli mbiu yake ikiwa “ Usindikaji wa Mazoa ya Kilimo kwa Maendeleo
Endelevu ya Viwanda”.
0 comments:
Post a Comment