
Nyahore alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Sekouture jijini Mwanza.
Nyahore alikuwa akiandikia gazeti ya Nipashe,The Guardian na Zanzibarleo katika mikoa ya Shinyanga na Simiyu.
Nyahore pia aliwahi kufanya kazi na ITV na Radio One.
Nyahore alizaliwa Mei 10,1962 mkoani Mara,ameacha mjane,watoto watatu na wajukuu watatu.
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu Anceth Nyahore. Amina.

Anceth Nyahore enzi za uhai wake



Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likiwa katika makaburi ya Nyasaka - Mwanza

Jeneza likiingizwa kaburini

Mazishi yanaendelea

Wakazi wa Nyasaka pamoja na waandishi wa habari mikoa ya Shinyanga na Simiyu wakiwa katika kaburi la marehemu Anceth Nyahore

Mama mzazi wa Anceth Nyahore akiweka shada la maua katika kaburi la mwanae


Wanahabari baada ya kuweka shada la maua

Waandishi wa habari mikoa ya Shinyanga na Simiyu wakiweka shada la maua

Kaka mkubwa wa Anceth Nyahore na mkewe wakiweka shada la maua
Malunde
0 comments:
Post a Comment