METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, June 10, 2019

TECNO YAZINDUA BODA LA SPARK 3

Kampuni ya simu ya TECNO mobile inawakaribisha wateja wake kununua simu mpya iliyozinduliwa hivi karibuni aina ya TECNO SPARK 3 na kujishindia zawadi kemkem ikiwemo pikipiki mpya.

Promotion hiyo iliyopewa jina la boda la spark 3 inaanza kwa mkoa wa dar es salaam kisha kuenea mikoa mingine hapo baadae, mteja atakaenunua TECNO spark 3 kwenye maduka maalumu ya TECNO yenye promotion hiyo  atapewa nafasi ya kuondoka na zawadi za papo kwa papo kama power bank yenye mAh 5000 na pamoja data cable,

TECNO Spark 3 ni simu ya kijanja yenye uwezo mkubwa wa kupiga picha pamoja na kufanya vitu mbali mbali mitandaoni   imezinduliwa takribani mwezi mmoja ikiwa ndio simu inayofanya vizuri zaidi kwa upande wa simu janja za kipato cha kati.

TECNO SPARK 3 ina ubora wa kamera yenye megapixel 13, huku mtumiaji anapata nafasi ya kuifadhi vitu vyake kwenye GB 16  za memory ya ndani na muonekano wake ni wakijanja na ndio maana inafanya vizuri sokoni,

Angalia zaidi hapa https://www.youtube.com/watch?v=dIErOrhsOik

Mshindi wa pikipiki atapatikana mwisho wa mwezi wa sita kwa njia ya bahati nasibu itakayo chezeshwa live kupitia mitandao ya kijamii ya TECNO mobile hasa Instagram

https://www.instagram.com/tecnomobiletanzania/

Fiika maduka ya TECNO yafuatayo ili kushinda  zawadi kemkem unaponunua simu hii ya SPARK 3, TECNO exclusive mobimart , TECNO exclusive mashreq, TECNO excuslive inorbit, TECNO exclusive hyatt, TECNO smart hub china plaza, maduka haya yanapatikana msimbazi kariako na mtaa wa agrey  lakin kwa upande wa mtaa sa samora posta lipo duka TECNO Experience centre huku upande wa mlimani Duka la TECNO smart hub,

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com