METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, June 22, 2019

MAJALIWA ASHIRIKI BONANZA NA BENKI YA NMB NA WABUNGE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua timu ya Mpira wa kikapu ya Benki ya NMB ambayo ilipambana na timu ya Bunge katika mechi la Bonanza la Benki ya NMB na Bunge kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Juni 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akirusha mpira wakati lipoanzisha mechi ya mpira wa kikapu ya Bonanza na Benki ya NMB na Wabunge kati ya timu ya Bunge na NMB kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Juni 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya Bunge wakiwa wamejipanga kabla ya mechi kati yao na timu ya Benki ya NMB kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Juni 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com