METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, May 28, 2019

RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI NCHINI ZIMBABWE NA KUPOKELEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS WA ZIMBABWE EMMERSON MNANGAGWA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA ROBERT MUGABE NCHINI ZIMBABWE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zimbabwe mheshimiwa Emmerson Mnangagwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini Zimbabwe.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe mheshimiwa Emmerson Mnangagwa wakipokea zawadi za maua kutoka kwa watoto wa Zimbabwe mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini Zimbabwe.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe mheshimiwa Emmerson Mnangagwa wakiwa wamesimama wakati nyimbo za taifa la Tanzania na Zimbabwe zilipokuwa zikipigwa mara baada ya kuwasili nchini Zimbabwe.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono pamoja na mwenyeji wake Rais wa Zimbabwe mheshimiwa Emmerson Mnangagwa wakati wakiangalia vikundi vya ngoma za asili mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Robert Mugabe nchini Zimbabwe. PICHA NA IKULU

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com