METDO Tanzania

METDO Tanzania

Saturday, March 23, 2019

WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA MIFUMO YA MAJITAKA ILI KUEPUKA MAGONJWA YA MLIPUKO

Mkurugenzi wa Usimamizi huduma za MajiTaka wa DAWASA, Shabani Mkwanywe (kulia) akizungumza na wanahabari katika Wiki ya Maji Duniani inayoadhimishwa na DAWASA kwa kusikiliza kero za wananchi katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam iliyoanza Machi 16-22,2019.
Mkurugenzi wa Usimamizi huduma za MajiTaka wa DAWASA, Shabani Mkwanywe (kushoto) akieleza machache mbele ya wanahabari juu ya mifumo ya MajiTaka

 Watoa Huduma wakiendelea kutoa elimu na kutatua kero za wananchi waliofika katika Wiki ya Maji Duniani inayoadhimishwa na DAWASA kwa kusikiliza kero za wananchi katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam iliyoanza Machi 16-22, 2019.
Wananchi wakisoma vipeperushi.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com