Na George Binagi-GB Pazzo
Chama cha
wazalishaji wa mvinyo wa matunda Tanzania (TALMA) kimeiomba Serikali kupunguza
kodi ya ushuru wa bidhaa kutoka shilingi 200 hadi 63 kwa lita moja, hatua
itakayosaidia wazalishaji wa bidhaa hiyo kumudu gharama za uendeshaji.
Ombi hilo
limetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Adolf Olomi kwenye mkutano wa kifaifa
uliofanyika jana Jijini Mwanza na kuhudhuriwa na taasisi mbalimbali za Serikali
ikiwemo mamlaka ya mapato nchini TRA, shirika la viwango Tanzania TBS pamoja na
Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo SIDO.
Aidha Olomi
alitoa rai kwa wazalishaji wa mvinyo nchini kuhakikisha wanasajili bidhaa zao
ili kufanya kazi kwa mujibu wa sheria ambapo kupitia mkutano huo taasisi na
mamlaka mbalimbali za serikali zilitoa semina namna ya kutekeleza suala hilo.
Nao baadhi
ya wazalishaji wa mvinyo, Straton Mzee kutoka kampuni ya Yande Investment ya
Jijini Mwanza inayozalisha mvinyo wa “Harambee Banana Wine” pamoja na Anna
Barnabas kutoka kampuni ya Bhunu Mbundi ya Jijini Arusha, wamesema kiwango
kikubwa cha kodi ushuru wa bidhaa inahatarisha ukuaji wa wazalishaji wengi wa
mvinyo nchini na hivyo kukwamisha kufikiwa kwa Tanzania ya Viwanda.
Mkuu wa
Idara ya Huduma na Elimu (TRA) Mkoa Mwanza, Lutufyo Mtafya alisema ikiwa
wazalishaji hao wanaona utekelezaji wa kodi ya ushuru wa bidhaa unakuwa mgumu
kutokana na ukubwa wa gharama, wanaweza kuwasilisha serikalini mapendekezo yao
kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho kwa mujibu wa sheria.
Mwenyekiti wa chama cha wazalisha mvinyo kwa kutumia matunda (TALMA), Adolf Olomi akizungumza wenye mkutano wa chama hicho uliofanyika Jijini Mwanza.
Washiriki wa mkutano huo
Tazama Video hapa chini
IJUWE SIRI YA MALI NA UTAJIRI KWA NDAGU NA MAJINI PIA ASILI YAKO.
ReplyDeleteKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.