Mwenyekiti
wa Mtaa wa Feri Kigamboni, Juma Mwingamno (katikati), akikata utepe wakati wa uzinduzi wa
duka la Huduma kwa Wateja la Airtel Dar es Salaam leo 9 Machi 2018, kulia (Mwenye fulana nyekundu) ni Meneja wa Aitel
Kigamboni Gerald Msafiri na meneja wa duka hilo Harriet Maduhu (kshoto). PICHA NA IMANI
NATHANIEL
Mwenyekiti
wa Mtaa wa Feri Kigamboni, Juma Mwingamno (katikati), akipokea zawadi kutoka kwa
Meneja wa Airtel wa Kigamboni, Gerald
Msafiri(kulia), na meneja wa duka la Airtel Kigamboni, Harriet Maduhu baada ya
kuzidua duka hilo Kigambon Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment