Mtendaji
Mkuu wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA), Bw. Charles
Senkondo akieleza kuhusu utendaji wa taasisi anayoiongoza wakati wa
ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi
wa Umma na Utawala Bora, Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb)
aliyoifanya mapema leo jijini Dar es Salaam.
Afisa
kutoka Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA) akiwasilisha mada
kuhusu kazi na mafanikio ya wakala wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) katika wakala hiyo mapema
leo.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akifuatilia mada
iliyowasilishwa kuhusu kazi na mafanikio ya TaGLA alipofanya ziara ya
kikazi katika Wakala hiyo mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia kwake
ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora, Bi. Susan
P. Mlawi, na Kushoto kwake ni Mtendaji Mkuu wa TaGLA, Bw. Charles
Senkondo.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akisisitiza jambo wakati
akizungumza na Watumishi wa TaGLA mapema leo jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akipata maelezo kuhusu
mifumo ya TEHAMA inavyofanya kazi wakati wa mikutano ya kieletroniki
(Video Conference) katika ofisi za TaGLA wakati wa ziara ya kikazi
aliyoifanya mapema leo jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akipokea taarifa (nakala
ngumu na laini) zenye shughuli zinazofanywa na Wakala ya Mafunzo kwa
Njia ya Mtandao (TaGLA) kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala hiyo, Bw.
Charles Senkondo baada ya kumaliza ziara ya kikazi katika wakala hiyo
mapema leo jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akipokewa na watumishi wa
Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma alipofanya ziara
ya kikazi katika Bodi hiyo mapema leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu
ya watumishi wa Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma
wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora, Kapt.(Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) wakati
wa kikao kazi katika ofisi za Bodi hiyo mapema leo jijini Dar es
Salaam.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma, Bw. Donald
Ndagula akitoa neno la shukurani kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.(Mstaafu)
Mhe. George H. Mkuchika (Mb) mara baada ya Waziri kumaliza kuzungumza na
watumishi wa bodi.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapt. (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akijionea utunzaji wa
kumbukumbu alipofanya ziara ya kikazi katika Ofisi ya Idara ya
Kumbumbuku na Nyaraka za Taifa leo jijini Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment