METDO Tanzania

METDO Tanzania

Sunday, October 15, 2017

UVCCM YAANZA VIKAO VYA KUFANYA MAPENDEKEZO YA WAGOMBEA

Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa imeanza kikao leo Jumapili 15/10/2017 katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Mhe Sadifa Juma Khamis (MCC/MB)

Kikao hiki ni cha kawaida cha kikanuni ambacho pamoja na mambo mengine kitapitia na kufanya mapendekezo ya wagombea nafasi mbali mbali kwa  ngazi Taifa na Mikoa.

Kikao hiki cha siku mbili ni maandalizi  ya kikao cha Baraza Kuu la UVCCM Taifa kitakachofanyika  Jumanne 17/10/2017 mjini Dodoma, vilitanguliwa na kikao cha Secretariat ya Baraza kuu Taifa kilichofanyika juzi jijini Dar Es Salam.

Kauli yetu ni:  Kulinda na Kujenga Ujamaa

Jokate U. Mwegelo
Kny: Katibu Mkuu
15/10/2017

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com