Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani
Kikwete leo amegawa vifaa vya michezo kwa timu za jimbo la Chalinze
zinazoshiriki mashindano ya kombe la Mazingira linaloshirikisha timu za
wilaya ya Bagamoyo. Hapa picha mbalimbali zikionyesha Mbunge huyo
akigawa vifaa vya michezo kwa viongozi mbalimbali wa vilabu vya mpira
katika jimbo hilo.
Saturday, August 12, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Mkurugenzi wa Mafunzo na Utafiti Wizara ya Kilimo Dkt.Wilhelm Mafuru akitoa hotuba ya ufunguzi kwa niaba ya Katibu Mkuu Wajumbe wa k...
-
Mwenyekiti wa CCM mkoani Iringa Dr. Abel Nyamahanga,Meneja wa TARURA Wilaya ya Iringa Barnaba Selemani Jabir na mkuu wa wilaya ya Iringa Moh...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment