METDO Tanzania

METDO Tanzania

Sunday, August 20, 2017

Maandalizi Ya Kongamano La Diaspora Yapamba Moto Zanzibar

Image may contain: 2 people, people sitting and indoor
Pichani kulia, Mheshimiwa Issa Haji Ussi Gavu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiongoza kikao cha Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Diaspora jana Kisiwani Zanzibar. Kongamano hilo la siku mbili litafanyika wiki hii, Jumatano na Alhamisi ( Agosti 23-24) kwenye Hotel ya Sea Cliff And Spa. Kulia kwa Mheshimiwa Gavu ni Mheshimiwa Hassan Hafidh, Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoka jimbo la Welezo na ni mdau wa Diaspora.
Wahi fursa hii kwa kujiandikisha kuhudhuria online..http://tzdiaspora.org/registration.html
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com