Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwango akiwa pamoja na Mwenyekiti wa wakuu wa shule kanda ya kusini (TAHOSA )
na Muwakilishi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea katika Mapokezi ya Scout ndani
ya Hoteli ya Singapore tarehe 30/07/2017.
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mapokezi kwao yaliyofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwango katika Hoteli ya Singapore.
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi Mhe Rukia Muwango amempongeza kamishna wa Scout Wilaya kwa kazi kubwa ya mafunzo bora aliytoyatoa kwa vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea.
Pongezi hizo kwa Kamishna wa Scout Wilaya na Kamishna Msaidizi kwa kuwapa mafunzo bora vijana wa Scout
kutoka Shule za Wilaya ya Nachingwea na kufanikiwa Kuwakilisha vyema Mkoa wa
Lindi hatimaye kufanikiwa kurudi na kikombe na Tuzo.
Monday, July 31, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa, ambaye pia ni Mnec wa Mkoa wa wa Iiringa Salim Asas akimkabidhi Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Kilo...
-
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba akionyesha mfuko mtupu uliogushiwa na kiwanda cha Global Packaging limited wakati akizungumza n...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Saida Issa, Dodoma CHAMA Cha wafugaji Tanzania (CCWT)kimewataka wafugaji kuhudhuria mkutano wa dharura kufuatia barua iliyotoka ofisi ya ...
Powered by Blogger.





0 comments:
Post a Comment