Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwango akiwa pamoja na Mwenyekiti wa wakuu wa shule kanda ya kusini (TAHOSA )
na Muwakilishi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea katika Mapokezi ya Scout ndani
ya Hoteli ya Singapore tarehe 30/07/2017.
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwangokatika Hoteli ya Singapore
Vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mapokezi kwao yaliyofanywa na Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mhe Rukia Muwango katika Hoteli ya Singapore.
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi Mhe Rukia Muwango amempongeza kamishna wa Scout Wilaya kwa kazi kubwa ya mafunzo bora aliytoyatoa kwa vijana wa Scout katika Wilaya ya Nachingwea.
Pongezi hizo kwa Kamishna wa Scout Wilaya na Kamishna Msaidizi kwa kuwapa mafunzo bora vijana wa Scout
kutoka Shule za Wilaya ya Nachingwea na kufanikiwa Kuwakilisha vyema Mkoa wa
Lindi hatimaye kufanikiwa kurudi na kikombe na Tuzo.
Monday, July 31, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Nimebahatika kupata fursa kadhaa kukaa na kuzungumza na Mheshimiwa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa enzi za uhai wake....
-
Na Mathias Canal, WAZOHURU MEDIA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali...
-
Na THEOFLIDA WA YESU Naanza kwa kuwasalimu kwa JINA LA YESU. Jina lililo Kuu kupita majina yote. Wiki ...
-
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla akiwa pamoja na Mgombea nafasi ya Udi...
-
Kuangalia video za ngono sio jambo jipya kwa jamii yetu, kimsingi ni watu wachache sana wanaweza kujizuia kujichua au kupiga punyeto ...
Powered by Blogger.





0 comments:
Post a Comment