Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017.
Wajumbe wakishangilia Ukumbini wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo alipowasulu ukumbini kwenye kikao hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo akiingia ukumbini kuemdesha kikao hicho, leo
Wasanii wa Kikundi cha CCM, wakitumbuiza kuchangamsha kabla ya kuanza kikao hicho, leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ukumbini. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph Kasheku Msukuma na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chato Ibrahim Bagula
Ofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Omari Kalolo akiimba nyimbo za hamasa wakati ajikitambulisha kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chato Ibrahimu Bagula akifungua kikao hicho.
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Geita, Mbunge wa Bukombe Doto Biteko akisalimia baada yakutambuishwa kwenye kikao hicho
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph Kasheku Msukuma, akimkaribisha Alhaj Bulembo kuzungumza kwenye kikao hicho
Mkuu wa Wilaya ya Chato Shabani akimkabidhi taarifa ya Wilaya hiyo.
Wajumbe ukumbini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbewa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017.
Kada wa CCM Paschal Kitandula, akiahidi kumpatia Kiwanja, Chato, Alhaj Bulembo ikiwa ni sehemu ya shukrani kwa kuwa Meneja wa Kampeni ya Rais Dk. Magufuli wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimkabidhi ya Jumuia ya Wazazi mmoja wa wanachama wapya 130 waliojiunga na Jumuia hiyo wakati wa kikao hicho.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Joseph Chacha ambaye alitangaza kuhamia CCM wakati wa kikao hicho. Chacha alikuwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema katika Wilaya za Geita na Chato.
Joseph Chacha akizungumza baada ya kupokewa rasmi ndani ya CCM wakati wa kikao hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akiagana na badhi ya Wana-CCM baada ya kikao chake na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017. PICHA: BASHIR NKOROMO
Saturday, June 10, 2017
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Carlos Claudio, Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anamringi Macha, ametoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh...
-
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Anna Joram Gidarya, amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutoa maoni kwa uhuru kuhusu ombi la k...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Laigwnani Metui Ole Shaudo mapendekezo ya Wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro kuhusu namna bor...
-
Na Meleka Kulwa- Dodoma Desemba 6, 2025 Jijini Dodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa imepeleka huduma za afya katika Viwanja vya Mnadani...
Powered by Blogger.

















0 comments:
Post a Comment