METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, October 31, 2016

Italia: Maelfu ya wakaazi walala nje kufuatia kimbunga kikali

Nyumba zimeharibiwa vibaya
Nyumba zimeharibiwa vibaya
Maelfu ya watu katikati mwa Italia wamelala katika magari na mahema ikiwa ni kama makazi ya muda mfupi baada ya kimbunga kikali kupiga katika eneo hilo tokea kile cha mwezi Agosti.
Wakaazi katika eneo lililoathirika zaidi la Norcia wamesema walikuwa na hofu sana kuendelea kukaa ndani mwa nyumba zao.
Takriban watu 20 wamejeruhiwa na kimbunga hicho kilichotokea siku ya Jumapili, lakini inasemekana mtu mmoja amepoteza maisha.
Baadhi ya wakaazi wakiwa kwenye makazi ya muda
Baadhi ya wakaazi wakiwa kwenye makazi ya muda
Mkuu wa eneo hilo Luca Ceriscioli amesema zaidi ya watu laki moja watahitaji msaada.BBC
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com