METDO Tanzania

METDO Tanzania

Sunday, September 18, 2016

TAMASHA LA TIGO FIESTA LAPOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI DODOMA IJUMAA HII

ben-pol-akiwa-na-wabunge-copy-2
Baadhi ya wabunge  wabunge la Tanzania wakiwa  wanacheza muziki na msanii Ben Pol kwenyeTamasha la Tigo Fiesta lililofanyika  uwanja  wa   Jamhuri   Dodoma usiku wa  kuamkia    juzi.

Belle9 akiwapagawisha maelfu ya mashabiki wa muziki waliojitokeza katika viwanja vya jamhuri katika tamasha la Tigo Fiesta 

Jux na Benpol wakiimba wimbo wa pamoja wa NAKUCHANA katika jukwaa la Tigo Fiesta katika viwanja vya Jamhuri mwishoni wa wiki hii.

Wasanii   Bushoke   na Maua Sama   wakifanya shoo ya   pamoja    kwenye   tamasha la Tigo Fiesta usiku  wa kuamkia juzi  uwanja  wa   Jamhuri Dodoma

Christian Bella akitumbuiza mashabiki wa burudani waliohudhuria Tamasha la Tigo Fiesta mapema mwishoni wa wiki hii mkoani Dodoma.

Maua Sama na Nandi wakiimba kwa pamoja katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia juzi katika viwanja vya Jamuhuri Mkoani Dodoma

Vanessa na Mcheza shoo wake wakiburudisha maelfu ya wakazi w.a Dodoma waliofika viwanja vya Jamhuri kwenye Tamasha la Tigo Fiesta

Wabunge wakilisakata Rhumba wakiongozwa  na Msanii Benpol

Joh Makini na Niki wa Pilli toka Weusi wakilivamia jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia juzi katika Tamasha la Tigo Fiesta 

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Tulia Ackson , akifuatilia kwa makini  burudani inayotolewa na wasaniii waliopamba jukwaa la Tigo Fiesta  akiwa pamoja na Waziri Habari Utamaduni Sanaa na Michezo,  Nape Nnauye na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira January Yusuph Makamba ) usiku wa kuamkia juzi
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com