Dawa ya jino bila kung’oa
Maumivu ya jino ni moja ya maumivu mabaya sana kuyapata, maumivu mengine
mabaya zaidi ni maumivu ya sikio. Jino linaweza kupatwa na maumivu
ambayo yanaweza kupelekea jino kutoboka na hata kuong’olewa kabisa. Dawa
zifuatazo zinaweza kutuliza maumivu ya jino na hata kuliziba kabisa
iwapo tayari limeanza kutoboka.1. Asali yenye mdalasini
Chukua asali vijiko vidogo vitatu na uchanganye na mdalasini ya Unga
kijiko kikubwa kimoja. Pakaa mchanganyiko huu kidogo kidogo juu ya jino
linalouma kutwa mara 3
2. Aloe vera (mshubiri)
Pata aloe vera fresh na uchane kupata maji maji yake (utomvu) na unyunyize juu ya hilo jino linalouma kidogo kidogo kutwa mara 2
3. Mafuta ya nazi na karafuu
Chukua karafuu 3 zitwangwe kwenye kinu, changanya na mafuta ya asili ya
nazi kijiko kidogo kimoja uliyotengeneza mwenyewe nyumbani. Pasha
kwenye moto kama dakika tatu, ipua na usubiri mchanganyiko wako upoe.
Paka mchanganyiko huu juu ya jino linalouma na uache kwa dakika 7 kisha
jisukutue kinywa na maji.
Thursday, September 29, 2016
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga (wa nne kushoto) akipitia taarifa ya ujenzi wa mradi wa Maji Nyamtukuza Wilayani Nyang’...
-
Na Dotto Mwaibale KUNDI la uhalifu la watoto wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 25 maarufu kama panya road linatishia usalama wa ...
-
Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samuel Jeremia Opulukwa akinawa mikono kabla ya kuingia katika Zahanati ya Saza itakayotumika kutibu endapo ata...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment