DAR ES SALAAM
MKUU wa wilaya ya Kinondoni,Mhe Paul
Makonda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi siku ya
tarehe 5/1 mwakani kwa ajili ya kushirikiana kwa pamoja katika ujenzi wa
shule 6 za Sekondari wilayani humo ili kupunguza wimbi la vijana
wanaokaa bure bila kwenda shule kwa kisingizio cha shule kuwa mbali.
DC Makonda amesema kuwa suala hilo pia litasaidia katika kupunguza mimba za utotoni na maambukizi ya virusi vya ukimwI.
0 comments:
Post a Comment