TIMU ya
Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu
Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri
usiku wa kuamkia leo mjini Alexandria.
Mabao
yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia
dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70
Monday, June 15, 2015
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Na Mathias Canal, Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli kesho Jumamosi April 15, 2017 kuanzia m...
-
Raia wa India, Dennis Smith ameachishwa kazi katika Hoteli ya Ramada kwa madai ya kuwatukana wafanyakazi wa ngazi za chini akiwaita nyan...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali katika hafla fupi ya...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment