WazoHuru - SimiyuMkuu wa mkoa wa Simiyu, Mhe. Kenani Kihongosi, leo tarehe 18 Februari, 2025 amezindua rasmi zoezi la usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo 6 katika mkoa wa Simiyu na kutoa wito kwa Wananchi kuchangamkia fursa ya matumizi ya nishati safi kama njia mbadala ya kupunguza...
Tuesday, February 18, 2025
Saturday, November 30, 2024
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Aahidi Kutatua Changamoto za Tanganyika Farmers Association (TFA) ili Kuongeza Faida kwa Wakulima

Leo, Novemba 30, 2024, Arusha ilikua jiji lenye hafla muhimu kwa wakulima wa Mkoa wa Arusha na maeneo mengine ya Tanzania. Ambapo mkutano mkuu wa wanahisa wa Tanganyika Farmers Association (TFA) ulifanyika katika viwanja vya Shopping Mall, ambapo Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Ndug. Gerald Mweli,...
Tuesday, October 22, 2024
GEITA YAUPOKEA MRADI WA BILIONI 17 KWA AJILI YA KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 105

Mkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela akiongea na Wanahabari mara
baada ya kumpokea rasmi mkandarasi, kampuni ya CCC (Beijing) Industrial &
Commercial Ltd; kutoka ChinaMkuu wa mkoa wa Geita, Mhe. Martine Shigela, leo jioni, tarehe 22
Oktoba, 2024 akiongea na Wanahabari mara baada ya kumpokea...
Sunday, October 13, 2024
TAMWA YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI ZA MAENDELEO “SAMIA KALAMU AWARDS”
Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wamezindua Tuzo ya SAMIA KALAMU AWARDS yenye kubeba kauli mbiu ya “UZALENDO NDIO UJANJA”.Tuzo hizo zitatolewa kwa wanahabari...
Monday, September 23, 2024
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo azungumzia Changamoto ya Rumbesa kwenye Zao la Vitunguu

WazoHuru Media - ArushaKatibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, amesema kwamba Wizara itachunguza na kuondoa changamoto ya rumbesa katika zao la vitunguu ili kuwasaidia Wakulima kuepuka kuuza mazao yao bila kipimo cha uhakika. Kauli hiyo aliitoa Septemba 23, 2024, alipotembelea mashamba...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo afungua Maonesho ya Teknolojia za Uhifadhi na Uongezaji Thamani Mazao ya Kilimo - Arusha

Pichani: Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, akizungumza na wakulima na wadau mbalimbali waliojitokeza katika ufunguzi wa Maonesho ya Teknolojia za Uhifadhi na Uongezaji...
Tuesday, September 17, 2024
WAZIRI BASHUNGWA AMPA HEKO DKT BITEKO, ACHANGIA MIL 15 UBORESHAJI UWANJA WA KILIMAHEWA-BUKOMBE
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ya mpira wa miguu ya KNK CUP 2024 yaliyotanguliwa na Bonanza la michezo mbalimbali ambapo amempongeza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko Kwa...
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) aki...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
-
Na Hamis Hussein -SINGIDA Umoja wa machifu mkoa wa singida umewaomba wanaumoja huo kufanya zoezi la kuwasimika machifu wengine katika maene...
Powered by Blogger.