METDO Tanzania

METDO Tanzania

Thursday, June 2, 2022

CHONGOLO ASIMIKWA UCHIFU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo amesimikwa rasmi Uchifu na kutambulika kama Kilela Mhina (Mtetezi wa Wanyonge)

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akikabidhiwa vifaa maalum kukamilisha kuwa Chifu kutoka kwa Chifu wa Kanadi Wenceslaus Sem, Bariadi mkoani Simiyu.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com