METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, December 8, 2020

DKT. MAGUFULI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJENGO YA OFISI ZA IKULU CHAMWINO, DODOMA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua sehemu mbali mbali wakati akikagua ujenzi wa majengo ya ofisi za  Ikulu Chamwino, Dodoma, leo Desemba 8, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia mafundi wa kiraia wakati akikagua ujenzi wa  majengo ya ofisi za  Ikulu Chamwino, Dodoma, leo Desemba 8, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wajenzi wa kiraia baada ya kukagua  majengo ya ofisi za Ikulu Chamwino, Dodoma, leo Desemba 8, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wajenzi wa kijeshi baada ya kukagua  majengo ya ofisi za Ikulu Chamwino, Dodoma, leo Desemba 8, 2020.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com