Meneja Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Kanda ya Dodoma, Octavia Seleman (katikati) akitoa msaada kwa mmoja wa wateja waliotembelea katika Banda la HESLB leo Jumanne (Desemba 21, 2020) katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA) unaoendelea Jijini Dodoma. Kulia ni Afisa Mikopo wa HESLB, Sophia Kangele.
Maafisa
Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu ya Juu (HESLB) Jonathan Manhe
(kushoto) na Sophia Kangele wakihudumia wateja mbalimbali waliotembelea Banda
la HESLB leo Jumanne Desemba 22, 2020 katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Umoja wa
Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA) unaoendelea Jijini
Dodoma.
Maafisa
Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi ya Elimu ya Juu (HESLB) Jonathan Manhe
(kushoto) na Sophia Kangele wakihudumia wateja mbalimbali waliotembelea Banda
la HESLB jana leo Jumanne (Desemba 22, 2020) katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa
Umoja wa Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA) unaoendelea
Jijini Dodoma.
Afisa
Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Jonathan Manhe
akitoa ufafanuzi kwa wateja mbalimbali waliotembelea Banda la HESLB leo Jumanne
(Desemba 22, 2020) katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Umoja wa Chama cha Walimu
Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA) unaoendelea Jijini Dodoma.
Afisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Jonathan Manhe akitoa ufafanuzi kwa wateja mbalimbali waliotembelea Banda la HESLB leo Jumanne (Desemba 22, 2020) katika Mkutano Mkuu wa mwaka wa Umoja wa Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari (TAHOSSA) unaoendelea Jijini Dodoma.
0 comments:
Post a Comment