Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili Mafinga kwa ajili ya kuwahutubia wakazi wa eneo hilo wakati akitokea mkoani Iringa.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi Mafinga mkoani Iringa wakati akielekea Makambako mkoani Njombe katika muendelezo wa Kampeni za CCM leo tarehe 29 Septemba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono Wananchi wa Mafinga mara baada ya kumaliza kuwahutubia leo tarehe 29 Septemba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha Kofia Bibi aliyefahamika kwa jina moja Bibi Zainabu mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Mafinga mkoani Iringa
Sehemu ya
Wananchi wa Mafinga wakimsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM
Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati aliposimama Mafinga leo tarehe
29 Septemba 2020.
0 comments:
Post a Comment