METDO Tanzania

METDO Tanzania

Tuesday, September 1, 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli azungumza na Wananchi wa Ikungi-Singida


Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Ikungi mkoani Singida wakati akielekea Singida mjini kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa Chama cha Mapinduzi CCM.


Wananchi wa Ikungi mkoani Singida wakimshangilia Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili wakati akitokea Wilaya ya Bahi kwenye Mikutano ya Kampeni za Urais.


Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiandika jambo katika hotuba yake kabla ya kuanza kuzungumza na Wananchi wa Ikungi mkoani Singida.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com