Mama Salma Kikwete ameibuka mshindi kati wa wagombea 21 waliotia nia kwenye kura za maoni Jimbo la Mchinga kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM baada ya kupata kura 92,Ahmaid Saidi Mderu kura 68 Riziki Lulida kura 62 na Mohamed Abdulaziz kura 52. Idadi ya wapiga kura ilikuwa 421.
Tuesday, July 21, 2020
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Pichani: Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, akizungumza na wakulima na wadau mbalimbali w...
-
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akipita katika moja ya maeneo ya ujenzi wa ofisi katika Mji wa ...
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment