Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakitakasa mikono kwa dawa maalum kabla ya kuingia katika ofisi zao ikiwa ni tahadhari wa mlipuko wa homa ya maoafu inayotokana na virusi vya Corona.
Baadhi ya wageni na wateja waliofika katika ofisi za Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupata huduma wakitakasa mikono kwa dawa maalum kabla ya kuingia katika ofisi mbalimbali ikiwa ni tahadhari wa mlipuko wa homa ya maoafu inayotokana na virusi vya Corona.
0 comments:
Post a Comment