Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
leo Januari 16, 2020 amerejea nchini kutoka Msumbiji, ambako
alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa
Msumbiji Filipe Nyusi. Kushoto ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,
Benjamin Mkapa, ambaye pia alikuwepo katika msafara huo.
Thursday, January 16, 2020
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
Na Mathias Canal, Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli kesho Jumamosi April 15, 2017 kuanzia m...
-
Raia wa India, Dennis Smith ameachishwa kazi katika Hoteli ya Ramada kwa madai ya kuwatukana wafanyakazi wa ngazi za chini akiwaita nyan...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi mbalimbali katika hafla fupi ya...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment