METDO Tanzania

METDO Tanzania

Monday, January 20, 2020

MASHINDANO YA GOFU YA ZANTEL YAFANA

Mchezaji wa gofu, Amanda Patric Mlula, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mchezaji wa gofu, Brigedia Msaafu, Julius Mbilinyi, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mchezaji wa gofu, Nathan Mpangala, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mchezaji wa gofu, Ryan Gosling, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.    Meneja wa Ufundi Mauzo ya Jumla wa Zantel Efrem Akwilini (kulia), akikabidhi zawadi ya simu aina ya SMARTA, kwa Isack Daud,mshindi wa jumla wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, (katikati mwenye fulana nyekundu ) ni Mwenyekiti wa Chama Cha Gofu nchini,Chriss Martin na Brigedia Generali Kondwani Kalino.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com