METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, November 27, 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA ISAKA MKOANI SHINYANGA

 
. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Nzega mjini Mkoani Tabora wakati akielekea Isaka mkoani Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Isaka Mkoani Shinyanga wakati akielekea Kahama.
Wananchi wa Kahama wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika Wilaya hiyo wakati akitokea Mkoani Dodoma.
PICHA NA IKULU
Share:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com