Mkurugenzi Msaidizi Wizara kutoka Idara ya Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Jackson Samwel akifungua kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa za hali halisi ya utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) kilichofanyika Ukumbi wa mikutano wa ofisi hiyo Jijini Dodoma Oktoba 8, 2019.
Mratibu Taifa wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Bi. Happiness Mugyabuso akizungumza jambo wakati kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.
Mshauri elekezi kutoka kampuni ya LEDECO Adv. Clarence Kipobota akiwasilisha mada wakati wa kikao kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.
Afisa Maendeleo ya Jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Bi. Rennie Gondwe akiwasilisha hoja wakati kikao cha mapitio rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA walipokutana Oktoba, 8, 2019 Jijini Dodoma.
Sehemu ya wajumbe wa kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakifuatilia mada zilizowasilishwa wakati wa kikao hicho.
Sehemu ya wajumbe wa kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakifuatilia mada zilizowasilishwa wakati wa kikao hicho.
Baadhi ya wajumbe walioshiriki katika kikao kazi cha kazi cha mapitio ya rasimu ya kipeperushi cha taarifa/takwimu za hali halisi ya utekelezaji wa MTAKUWWA wakichukua nukuu wakati wa kikao kazi hicho.
 (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)