METDO Tanzania

METDO Tanzania

Wednesday, October 23, 2019

MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. MAGUFULI MKUTANO WA UCHUMI KATI YA URUSI NA AFRIKA

Baadhi ya washiriki wa Mkutano  wa uchumi  kati ya  Afrika na Urusi (Russia -Africa  Economic Forum)  wakimsikiliza Rais wa Urusi, Vladmir Putin wakati alipohutubia mkutano huo kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi chini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Urusi, Vladimir Putin akihutubia katika  Mkutano  wa uchumi  kati ya  Afrika na Urusi (Russia -Africa Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnagangwa na   Rais wa Uganda,  Yoweri Museveni  (kulia) wakimsikilza  Rais wa Urusi, Vladimir Putin  wakati alipohutubia katika  Mkutano  wa uchumi  kati ya  Afrika na Urusi  (Russia -Africa  Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Copyright © 2025 WAZO HURU | Powered by Blogger Design by ronangelo | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com