Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza baada ya kuzindua Jengo la
Ofisi za Ustawi wa Jamii kwenye Manispaa ya mji wa Iringa, Septemba
29, 2019. Wa nne kulia ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, wa
sita kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria. Dk. Augustine Mahiga. Wa tano
kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege na
wa sita kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mkurugenzi
Mkuu wa Makampuni ya ASAS, Salim Abri ambaye amefadhili ujenzi wa jengo
hilo lililogharimu zaidi ya Shilingi Milioni 50. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Sunday, September 29, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Na Mathias Canal, Dodoma Utangulizi : Mradi wa kufua umeme kwa kutumika nguvu ya maji katika mto Rufuji uliopewa jina la ‘Julius Nyerere...
-
Kiongozi wa upinzani, Kizza Besigye akisindikizwa na maofisa wa gereza la Luzira alikokuwa akishikiliwa Kiongozi w...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya kilim...
-
Na Hamis Hussein - Singida Serikali imetoa shilling bilioni 5.9 kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa majengo mapya ya hospitali ya rufaa y...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment