Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza baada ya kuzindua Jengo la
Ofisi za Ustawi wa Jamii kwenye Manispaa ya mji wa Iringa, Septemba
29, 2019. Wa nne kulia ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, wa
sita kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria. Dk. Augustine Mahiga. Wa tano
kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege na
wa sita kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mkurugenzi
Mkuu wa Makampuni ya ASAS, Salim Abri ambaye amefadhili ujenzi wa jengo
hilo lililogharimu zaidi ya Shilingi Milioni 50. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Sunday, September 29, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Mathew Mtigumwe jana Tarehe 17 Juni 2019 aki...
-
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo Na Mathias Canal, Dar es salaam Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Jijini Da...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe anautangazia Umma kuwa, Wizara imeandaa Mkutano wa Wafanyabi...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment