Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza baada ya kuzindua Jengo la
Ofisi za Ustawi wa Jamii kwenye Manispaa ya mji wa Iringa, Septemba
29, 2019. Wa nne kulia ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa, wa
sita kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria. Dk. Augustine Mahiga. Wa tano
kushoto ni Naibu Waziri , Ofisi ya Rais TAMISEMI, Josephat Kandege na
wa sita kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mkurugenzi
Mkuu wa Makampuni ya ASAS, Salim Abri ambaye amefadhili ujenzi wa jengo
hilo lililogharimu zaidi ya Shilingi Milioni 50. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Sunday, September 29, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua bwalo la chakula na madarasa, katika shule ya sekondari ya bweni ya Lucas Malia, iliyopo wilay...
-
Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kanali Julius Kadawi akisisitiza kuhusu nafasi zilizotolewa kwa vijana wanaopenda ku...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment