Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa
Palamagamba Kabudi (wapili kushoto) wakizungumza na Profesa Mark
Rweyemamu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha SACIDS Foundation for
One Health chenye makao yake mkoani Morogoro (wapili kulia) na Profesa
Gerlad Masinzo ambaye ni Kiongozi wa Kituo hicho katika Mkutano wa Saba
wa TICAD unaoendelea kwenye Hoteli ya Pacifico Yokohama nchini Japan,
Agosti 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Thursday, August 29, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Ndugu zangu, Naomba nianze na tungo hii fupi... " Sina sauti nzuri ya kuimba, siwezi kucheza muziki watu wakanista...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment