Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo
Agosti 25, 2019 ameondoka nchini kwenda Japan kwa ziara ya kikazi ya
siku saba. Pichani, Mhe. Majaliwa akizungumza na Waziri wa Elimu,
Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako (kushoto) na Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Avemaria Semakafu (wapili kushoto)
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam kabla ya
kuondoka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sunday, August 25, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Afisa elimu wa mkoa wa Dar es salaam akizungumza na washiriki wa mkutano uliowakutanisha wamiliki wa shule binafsi ...
-
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Rosemary Senyamule,akizungumza na washiriki wa maonyesho (hawapo pichani) mara baada ya kutembelea na kukagua Ma...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment