Mshambuliaji Sadio Mane
akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na
ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo
wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary’s. Bao la pili la Liverpool
limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings
kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Saturday, August 17, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Waziri wa Kilimo Mhe Hasunga (Mb) Mwenye Tai, akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa kampuni mbalimbali zinazojihusisha na uzalish...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Pichani: Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli, akizungumza na wakulima na wadau mbalimbali w...
-
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula akipita katika moja ya maeneo ya ujenzi wa ofisi katika Mji wa ...
-
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amefunga mashindano ...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment