Mshambuliaji Sadio Mane
akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na
ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo
wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary’s. Bao la pili la Liverpool
limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings
kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Saturday, August 17, 2019
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
KARIBU TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA
Popular Posts
-
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda Kizza Besigye amekamatwa tena na maafisa wa polisi. ...
-
📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafanya kazi kubwa ya kuwaunganisha Watanzaia 📌 Atak...
-
Na Debora Charles (Mtakwimu) Sensa ya watu na makazi ni utaratibu wa kukusanya, kuchambua, kutathimini na kuchapisha na kusamba...
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI na Mbunge wa Kisarawe Selemani Jafo akijiandaa kukata keki katika katika sherehe ya kuwapongeza...
-
Kulia ni Waziri wa kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt Charles John Tizeba akizungumza na waandishi wa habari, kushoto kwake ni Katibu Mkuu wi...
Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment